Wednesday, August 21, 2019

YAWEZEKANA TANZANIA KUPATA ARENA YA KIKAPU

Inawezekana kabisa kupata Uwanja wa aina hii .

 Uwanja wa kisasa kwa matukio makubwa  ya kikapu , ngumi na maonesho mbalimbali   . ikiwa Nchi ya Rwanda wamefanikiwa kwenye hili.


Nazani hata Tanzania kama itakuwa tayari kwa hili inaweza fanikiwa kupata Arena kama hii kubwa ya kisasa kwa ajiri ya maendeleo ya mpira wa kikapu nchini

No comments:

Post a Comment