Wednesday, August 28, 2019

#USOPEN_VIGOGO CHALI

SIKU Safi  kwa Muaustralia Nick Kyrgios baada ya ushindi dhidi Johnson  na kutinga raundi ya Pili.
 - Rafael Nadal  akimchapa Millman Seti Tatu zote mfululizo bila majibu .
- Mcanada Dennis Shapovalov yeye alikua na siku nzuri mbele ya Bwanamdogo Auger aliasime kwa "Straight set "
- Ni kama Wilfred Tsonga bado hajarudi vizuri toka atoke kwenye Majeraha , akiaga raundi ya awali mbele ya Sandgren .
- Moja ya watu waliopewa nafasi kubwa kuleta ushindani dhidi ya Miamba mitatu " Big 3" ( Novak , Nadal na Federer)
Dominic Thiem amepoteza mchezo dhidi ya Thamos Fabbiano baada mechi ndefu ikichukua seti 4.

 Tuendelee kuwa Pamoja ...


No comments:

Post a Comment