Friday, August 23, 2019

TAIFA STARS HAZARANI

Kaimu kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Etiene Ndairagije ametangaza kikosi cha timu ya taifa chenye wachezaji 30 ambao wanajiaandaa na mchezo wa kuwania kuingia kwenye makundi ya kugombania kufuzu kombe la dunia


Huku akiwajumuisha wachezaji Ally N'yanzi anae cheza timu ya Minnesota inayo shiliki ligi marekani na Eliuter Mpepo anae cheza ligi ya Zambia timu Buildcon

No comments:

Post a Comment