Taarifa hazijasema zaidi juu ya sababu za kifo chake,hata hivyo mwaka 2015 alipata stroke iliyomfanya awe hospitalini kwa muda mrefu sana.
Agogo takumbukwa na wengi hasa katika michuano ya Mataifa Afrika (African cup of Nation) mwaka 2008 na amefariki akiwa na umri wa miaka 40.
#RIP regend

No comments:
Post a Comment